KARIBUNI KWENYE BLOG YANGU ILI USIPITWE NA HABARI KEMKEM,KWA HABARI MOTOMOTO NDANI NA NJE YA NCHI MICHEZO NA BURUDANI NA ZINGINEZO NYINGI UNGANA NAMI NICK 4REAL

Tuesday, January 16, 2018

Diamond achagua Nchi nyingne ndan ya Afrika mashariki Kuweka Mjengo Mpya.....


Baada ya kufuta Dhana ya kusema Bongo fleva inashindwa kutumia fursa za kujiweka kimataifa zaidi na kuipeperusha bendera ya taifa nchi nyingi saana ikiwepo kuteka soko la afrika
kwa ujumla Diamond Platnumz ameamua kujikita kujenga Nyumba kwenye Nchi ya Kagame, Rwanda
Hii Ndio moja ya post aliyoitoa

No comments :

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...