KARIBUNI KWENYE BLOG YANGU ILI USIPITWE NA HABARI KEMKEM,KWA HABARI MOTOMOTO NDANI NA NJE YA NCHI MICHEZO NA BURUDANI NA ZINGINEZO NYINGI UNGANA NAMI NICK 4REAL

Monday, May 19, 2014

MWANAMKE AUAWA KIKATILI KWA KUCHOMWA MOTO HADHARANI...KISA?!SOMA ZAIDI HAPA.

Hivi karibuni mwanamke mmoja huko Nchini Nigeria aliuawa na wananchi walioamua kujichukulia sheria mkononi baada ya kumtuhumu kuwa anaiba watoto wa shule na kuwapeleka kusikojulikana.

No comments :

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...