KARIBUNI KWENYE BLOG YANGU ILI USIPITWE NA HABARI KEMKEM,KWA HABARI MOTOMOTO NDANI NA NJE YA NCHI MICHEZO NA BURUDANI NA ZINGINEZO NYINGI UNGANA NAMI NICK 4REAL

Friday, July 25, 2014

APATA KIPIGO BAADA YA KULA MCHANA PEMBA...........

kijana akipewa kipigo


Mchana kweupeee, mtu mmoja kisiwani Pemba amejeruhiwa vibaya baada ya kupata kipigo kutoka kwa askari jamii. Mkasa huo umetokea katika kijiji cha Msingini Chake chake mkoa wa kusini pemba ambapo Polisi jamii wa Shehia hio waliamua kumpiga mtu huyo baada ya kuonekana akila mchana akiwa pamoja na wenzake watatu ambao walifanikiwa kukimbia na kutokomea kusiko julikana.

No comments :

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...